Wlder na Tyson Wapima Uzito ili Kuzichapa Kesho Mgm Grand



Bondia Muingereza, Tyson Fury akionyesha hasira zake wakati wa kupima uzito leo kuelekea pambano la ngumi za za kulipwa uzito wa juu dhidi ya Mmarekani, Deontay Wilder Alfajiri ya kesho ukumbi wa MGM Grand Arena Jiji Las Vegas ambako ltakuwa la marudiano baada ya wawili kutoka droo Desemba mwaka 2018.

Fury amepata Paundi 273, ikiwa ni pungufu ya Paundi tatu tu kati ya uzito wake mkubwa zaidi, wakati Wilder amepata Paundi 231, ambazo ni nyingi zaidi kwake kihistoria akienda kutetea taji lake la WBC kwa mara ya 11.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad