Breaking News: Tanzania Yathibitisha Kuwa na Mgonjwa Mmoja wa CORONA..Aliingia Nchini Jana Kupitia Uwanja wa Ndege KIA

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema mtanzania mmoja ambaye aliingia nchini Machi 15 kupitia uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro akitokea Ubelgiji amethibitika kuwa na virusi vya Corona. Ummy amesema ni mwanamke mwenye miaka 46.

Tazama hapo chini

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad