Ebitoke "Mimi ni Mzuri Sana Msinifananishe na WEMA Sepetu Wenu"


"Msinifananishe na Wema Sepetu mimi ni mzuri kuliko Wema" - Amesema Ebitoke mrembo anayepewa nafasi kubwa kutwaa taji Miss Tanzania 2020

Mrembo Ebitoke ambaye pia ni mchekeshaji amechukua form ya kujiunga na mashindano ya Miss Tanzania Mwaka Huu, Pia amekaririwa akisema anampango wa kuingia katika siasa kwa kugombania Ubunge Mwaka huu wa Uchaguzi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad