Godbless Lema Aachiwa Kwa Dhamana




Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana leo, wakili wake Fredy Kalonga amethibitisha. 

Lema alishikiliwa na polisi mkoani Singida tangu Jumatatu Machi 2, 2020 kwa tuhuma ya upotoshaji wenye lengo la kulichonganisha jeshi hilo na wananchi

Ametakiwa kuripoti tena Machi 24, 2020.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad