Hemed Ajisifia Ufuksa wa Wanawake "Starehe Yangu MADEMU, Nawagonga Sana"


Msanii hemed Ph amefunguka hukuakionekana kujisifi sana na tabia yake ya kupenda sana wanawake kuliko kitu kingine.

msanii huyo ambae amekuwa akisika kwa kuwa na idadi kubwa ya wanawake , anasema kuwa katika maisha yake starehe yake kubwa ni wanawake na wals io kitu kingine.

ukiachana natabia ya kupenda wanawake, hemed pia amekuwa akizungumzia sana katika mitandao kuwa amekuwa msanii anaeongoza sana kwa tabia ya kuzaa nje ya ndoa na kuwa na watoto wengi kitu ambacho yeye anasema kuwa haoni shida.

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>

Hemed anasema “mimi sina starehe yoyote , sinywi pombe na wala sivuti sigara, mimi starehe yangu huwa ni mademu tu , kazi yangu ni kugonga tu”
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad