Kifo cha Mfanybiashara Maarufu Tanzania Aliyekufa Akiwa Rumande Chaibua Mjadala wa Haki za Watuhumiwa


Watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii wamelaani na kusikitishwa na kifo cha ayekuwa Mwenyekiti wa Sekta binafsi nchini (TPSF) Salum Shamte ambaye amefariki akiwa rumande kwa kosa la uhujumu uchumi.

Shamte ambaye alikamatwa na polisi Oktoba mwaka jana kwa agizo la Agizo la la mkuu wa mkoa wa Tanga na kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi na mtoto wake tangu amefariki leo asubuhi Machi 30, 2020.

Kifo cha mfanybiashara maarufu Tanzania aliyekufa akiwa rumande chaibua mjadala wa haki za watuhumiwa


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad