Mkurugenzi Mkuu wa WHO Atakiwa Kujiuzulu



Inaelezwa mnamo Januari 23, 2020, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus alikataa kutangaza mlipuko wa virusi vya #COVID19 kama janga la dharura ya kiafya duniani

Idadi ya walioambukizwa na vifo imeongezeka kwa kiwango kikubwa sana na kupelekea Tedros Ghebreyesus kuonekana hafai kuendelea na jukumu lake kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo

Wananchi wanahamasishana kusaini 'petition' ya kuushinikiza Umoja wa Mataifa kumuondoa Mkurugenzi huyo kwenye wadhifa wake kwa kushindwa kudhibiti #COVID19 mapema


Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tena halaka sana, kwa vifo hivi na uharibifu wa uchumi duniani na mlolongo mzima hata wale.

    ReplyDelete
  2. Tena halaka sana, kwa vifo hivi na uharibifu wa uchumi duniani na mlolongo mzima hata wale.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad