Msanii wa Filamu Afariki Baada ya Kutoka Msikitini Alfajiri


Asubuhi ya leo imeripotiwa taarifa ya kifo cha msanii Baki Boban kilichotokea asubuhi ya leo maeneo ya nyumbani kwake, taarifa zinaeleza kuwa Marehemu alikua anatoka msikitini alfajiri ya Leo na baada ya muda akaanza kujisikia vibaya na hapo ndipo mauti yalipomkuta.

Baki Boban alishiriki katika tamthilia ya Rebeca kama baba yake Albert (burushi) na pia alishiriki katika vipindi vyote vya tamthilia yaBONGO DAR ES SALAAM.

Mwili wa marehemu umesaliwa pale upanga msikiti wa maamul ,na kuzikwa Leo SAA kumi pale kisutu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad