Nick Minaj amekuwa rapper wa kwanza wa kike kuwa na utajiri huu



Nick Minaj ndiye rapper wa kwanza wa Kike kufikisha utajiri wa Dola Milioni 100 ambazo ni sawa na Bilioni 230 za Kitanzania, wamethibitisha Label ya Young Money kupitia twitter.

Fedha hizo zimetokana na mauzo ya kazi zake za muziki vile vile uwekezaji nje ya muziki
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad