Sallam SK Meneja wa Diamond Platnumz Adaiwa Kuugua CORONA..Babu Tale Afunguka


Taarifa zinazosambaa, Ni Kuwa SALLAM SK Mendez anaumwa , Diamond , Dancers na Crew nzima Wamechukuliwa vipimo wote waliokuwa Marekani juzi wanasubiri majibu ya vipimo kama ni Ugonjwa mwingine au Corona

Meneja wa Diamond... BABUTALE Afunguka Kuhusu Sallam SK Kuumwa Corona Huko Ughaibuni...

"Siwezi Kusema kama anaugua, anayeugua ni Binadamu, hatujaambiwa kama anaumwa maradhi yoyote, alikuwa na home ya kawaida tunasubiria majibu yatakuwaje, Alikuwa anaumwa kabla hajaondoka, si unajua ni mtu wa kuparty akajua uchovu"


 MSIKILIZE HAPA


Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dua Za H. Baba na Hamonizer.
    Ikizulumu maskini MUNGU anaekupa kichapo bila Ajizi.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad