22 Wapona Ugonjwa wa Corona Uganda


Wizara ya Afya Uganda imesema wagonjwa wengine wawili wa corona wamepona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 22 nchini humo, Uganda ina visa 55 ambapo kwa sasa wagonjwa 33 wanaendelea na matibabu, 22 wamepona na hakuna kifo kilichotokana na corona.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad