Z Anto "Nimepoteza NDUGU Yangu Katika Ajali ya Mkuranga iliyoua Watu 21"

Ndugu wa msanii Z Anto ni miongoni mwa watu 21 waliofariki kwenye ajali ya gari iliyotokea Kijiji cha kilimahewa Kaskazini mkoa wa Pwani.

Z Anto amethibitisha hilo la kumpoteza ndugu yake kwenye Ajali hiyo ilitokea April 15 ikihusisha basi dogo kugongana uso kwa uso na lori.

"Nipo mtwara mikindani nmekuja kumzika kakaangu, ambae ni mmoja kati ya watu 21 waliofariki ktk ajali ya Jana maeneo ya kilimahewa njia ya mkuranga

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad