Chanjo ya CORONA Virus Kuanza Kujaribiwa Alhamisi


Wanasayansi kutoka Chuo cha Oxford ambapo chanjo ya ugonjwa wa #COVID19 inatengenezwa wamesema kuna uwezekano chanjo hiyo ikafanikiwa kwa 80% lakini pia wamekiri inaweza kushindwa

Wamesema itaanza kujaribiwa rasmi kwa binadamu siku ya Alhamisi (Aprili 23, 2020) na majaribio hayo yatagharimu Paundi Milioni 20 (sawa na takribani TZS 56,952,036,140)

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad