Lema Amjibu Waziri Mkuu Amuambia Kufunga Shule Wakati Baa Zinaendelea sio Sahihi


Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema amesema shule ama vyuo kuendelea kufungwa wakati baa , klabu, hoteli, masoko, stendi bado zinaendelea kawaida sio jambo nzuri.

Lema amesema suala la neno mikutano isiyo rasmi ‘Hivi Corona virusi ina ogopa mikutano rasmi?,”

Lema amesema wanaogopa kuchukua hatua lakini watakuja kuchukua hatua muda umeshachelewa.

Kiongozi huyo aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa “Shule/ vyuo kuendelea kufungwa wakati baa, club, hotel, masoko, stendi bado zina endelea kawaida bado sio kazi nzuri. Halafu!! hili neno mikutano isiyo rasmi hivi Corona Virus ina ogopa mikutano isiyo rasmi? Tuna ogopa kuchukua hatua lakini tutakuja kuchukua hatua huku tukiwa tumechelewa sana,”.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad