Mtangazaji DIVA Loveness Abadili Mwelekeo...Ukitaka Kunioa Njoo na Bilioni 1.5

Diva

Diva Loveness aachi vituko, baada ya kutrend sana week mbili hizi zilizopita baada ya kutangaza kuwa alikuwa kwenye uhusiano wa siri wa kimapenzi na Ali Kiba, Sasa Mrembo huyo ametangaza kuwa atakaye taka kumua aje na Bilioni 1.5 Kama mahari

Mwanzoni Diva Alisema yeye ili akubali kuolewa lazima mwanaume aje na dau la milioni Mia tano, kwa sasa dau limepanda zaidi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad