Majay Afunguka Kumnyakua Jonijoo Wasafi FM, 'Sina Tatizo na Diamond na Sijamchukua Kulipiza Kisasi'

Majay afunguka kumnyakua Jonijoo Wasafi FM, 'Sina tatizo na Diamond na sijamchukua kulipiza kisasi' , Jonijo ni Mtangazaji ambae nilikuwa nampenda zamani hata kabla akiwa Times FM tulishaanza mawasiliano ya Mchakato aje EFM lakini nilisafiri Kidogo, niliporudi nikakuta ameshachukuliwa na Wasafi FM...


Wakati alipo kuwa TIMES niliongea hata na boss wake kuwa namtaka , boss wake ni rafiki yangu akasema we ongea nae tu akikubali freshi.....

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad