Web

Juma Lokole kumbe alikuwa shabiki wa Alikiba akahamia kwa Diamond “Napenda sana uandishi wake” (Video)

Top Post Ad


Mmoja kati ya mashabiki wa Diamond, Juma Lokole ambaye pia ni mtangazaji wa Wasafi Fm, amefunguka jinsi anavyomkubali muimbaji Alikiba ambaye siku ya leo ameachia wimbo mpya na kukubalika na mashabiki wengi ndani ya muda mfupi akiwa na Hamisa Mobetto.

VIDEO:

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.