Kumvumilia Mwanaume Asiyekupa Nipa Hela Nacho Kipaji....Mimi Nimeshindwa Walahi!

Naitwa Fatuma Kutola Mwananyamala, kwa hili mimi sijui ila nikipata Mwanaume asiyenihonga sioni raha ya mapenzi hata kidogo, Yaani Mwanaume akinitongoza alafu akionekana hana mwelekeo wa kunipa hela simpi papucha, nasikia wadada wengine wanavumilia na wanaume wasiowapa hela eti sababu wazuri kisura sijui wanawaita Ben ten sikuhizi...yaani kwangu hata uwe mzuri kivipi bila hela ni Big Nooooooooooooo.......Yahitaji moyo aiseeee au nina kasoro?
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad