Msanii wa Harmonize kasimulia msoto aliopitia “Nimeishia la saba”


Mwimbaji Ibraah kutokea lebo ya Kondegaing inayoongozwa na Harmonize amezungumza na kueleza alivyosota kwa kipindi kirefu baada ya kuishia Darasa la saba huku wazazi wake wakikosa uwezo wa kumuendeleza kielimu.

Ibraah amefunguka mengi ikiwemo la yeye kufanya kazi ya ufundi seremala ili ajipatie ridhiki. Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama akifunguka zaidi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad