Rihanna na Jay z wachangia Bilioni 4 kwa wahanga wa Corona Virus



Ni Headlines za wakali kutokea Marekani Jay-Z na Rihanna ambapo wameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kila mmoja kuchangia kiasi cha Bilioni 2 za kitanzania kupitia taasisi zao; Shawn Carter Foundation na Clara Lionel.

Fedha jumla ya Bilioni 4 ambazo zitasaidia na kuwagusa madaktari, jamii na watu wasio na makazi kupata chakula vya  kupambana na ugonjwa wa Corona.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad