Rose Ndauka Afunga Ndoa na Mpenzi Wake wa Muda Mrefu Haffiyy Mkongwa



Muigizaji wa filamu za Bongo Movie, Rose Ndauka ameingia rasmi kwenye maisha ya ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa muda mrefu anayefahamika kwa jina la Haffiyy Mkongwa.

Rose amefunga ndoa ya siri iliyohusisha watu wachache tu wa familia za wawili hao kutokana na kuwepo hatari ya mlipuko wa Ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad