TANZIA:Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhan amefariki Duni


Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhan amefariki Duni leo saa 2 asubuhi katika Hospitali ya Agha Khan DSM baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Marehemu Jaji Ramadhan alishawahi kutumikia nafasi mbalimbali na kupata vyeo vya juu kiwemo kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania Bara na Visiwani mwaka 2002 hadi 2007, pia Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar kipindi hichohicho.

Pia ni Brigedia Jenerali ambapo alilitumikia Jeshi na hadi anafariki alikuwa ni Mchungaji wa Dayosisi ya Kanisa la Anglikana lililopo Mkunazini Zanzibar, Mstaafu Ramdhani aliwahi pia kuwa Jaji Mkuu Zanzibar.
#RIPMzeeWetu🙏
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad