Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO


Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.

Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa.

Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?

Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad