BREAKING News: Kiwanda cha Kahawa Chateketea Kwa Moto Kagera


BREAKING News: Kiwanda cha Kahawa Chateketea Kwa Moto Kagera
KIWANDA cha kukoboa kahawa cha Kharim Amri kilichopo Mgakorongo wilayani Karagwe, kimeungua moto. Taarifa za awali zinadai kuwa mashine na vifaa vingine vilivyoungua vina thamani ya Tsh bilioni 1. Mkuu wa wilaya hiyo, Godfrey Mheruka, amethibitisha..

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad