Breaking: Rais Magufuli Afanya uteuzi wa Mwenyekiti wa TSC
0
May 08, 2020
Rais Magufuli amemteua Dkt. Willy Komba kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) kuanzia leo, Dkt. Komba ni Profesa Mshiriki wa UDOM na anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Oliver Mhaiki ambaye amemaliza muda wake.
Tags