CHADEMA Wataka Bunge Lisitishwe Kwa Siku 21


''Tunataka Bunge lisitishwe shughuli za Bunge kwa siku 21 kuruhusu Wabunge na watumishi wote wa Bunge kwenda karantini, kupima Wabunge na watumishi wa bunge na familia zao kubaini ni wangapi wana maambukizi ya korona ili stahiki zichukuliwe

Tunazitaka kamati mahususi za Bunge hususani kamati ya huduma za Bunge na kamati ya uongozi zifanye vikao vyake kwa njia ya mtandao ili maamuzi muhimu kuhusu utawala na mwenendo wa Bunge yaweze kufanyika''-CHADEMA

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kumbukeni Ruzuku na Posho Mtakosa..!!

    Wewe utatokaje Daisalama Mpaka Dodoma Mpaka Moshi na Unaendelea Kukutana na Kujamiika na watu HUKU UKIJUA FIKA MWANAO ANAO.

    WACHENI UENEZAJI KWA LOHO MBAYA.

    BUNGE NDIO LALA SALAMA MLUDI MAJIMBONI MTAFUTE EKA ZA SHAMBA KULIMA AU UFUGAJI ASALI AU UUZAJI MTORI STENDI .

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mdau, Ni Ukweli usiopingika,
      Inabidi yeye awe katika mwendelezo wa kujikakatini mpaka mwezi Julai.

      Hivyo TigoPesa wamesitisha Huduma?

      Kama Huduma Zinaendelea , Basi itapendeza Ruzuku ataipokea Kwa Njia Ya Airtel Money au Mpesa.

      Tafadhali Rudia kujikakatini sio Dodoma eeeeh. Ludi Kijijini.

      Maisha ya Mjini ni Galama.
      Ruzuku na Posho za wenzako Usizikombe... Au kupangisha Chama.

      Nasikia Wawakilishi Mahiri Wanajiengua kwenda Kwa MBATIA.

      Kubenea, Salam Aleykum.. Ramazan Karim was swaum Maqbul

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad