Idadi ya Wagonjwa wa CORONA Yapungua Kwenye Baadhi ya Vituo vya Matibabu


Idadi ya Wagonjwa wa CORONA Yapungua Kwenye Baadhi ya Vituo vya Matibabu

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Corona kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri.

"Pale Amana kuna wagonjwa 12 na wengi wana hali nzuri, Mloganzila kuna wagonjwa 6 na kule Lulanzi-Kibaha tuna wagojwa 24 walio wengi wana hali nzuri na katika hospitali za private tunashukuru tumekuwa na ushirikiano na kuna wagonjwa wa aina mbalimbali ambao wana magonjwa tofauti pamoja na kwamba wana ugonjwa wa Corona"
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad