Kampuni ya MO Dewji kufutiwa leseni, sakata la sukari



Kampuni ya MO Dewji kufutiwa leseni, sakata la sukari
Serikali imetishia kuzinyang’anya leseni ya Biashara baadhi ya Kampuni ambazo ni Mawakala wa Sukari ikiwemo ya Mohamed Enterprises Ltd kwa kukiuka agizo la katibu tawala wa mkoa Kilimanjaro Dkt Khatibu Kazungu alilotoa hivi karibuni akiwataka kuagiza sukari na kisha kuziuza kwa wafanyabiashara katika mkoa huo. 


OPEN IN BROWSER

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad