Lukamba: “Diamond ni hatari kwa kujifukiza, Mama yake ndio fundi tunaenda mmoja mmoja tusiambukizane Corona” – Video



Mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @diamondplatnumz @lukambaofficial ameeleza jinsi Boss wake @diamondplatnumz anavyojifukiza kwa lengo la kujikinga na Corona.


Lukamba ameongeza kuwa @diamondplatnumz ni hatari sana kwa kujifukiza maana @mama_dangote ndio fundi wa mambo hayo “Tunajipiga nyungu mmoja mmoja kuhofia kuambukizana Corona.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad