Mbunge wa Lushoto Aibuka na Dawa ya Corona Atibu zaidi ya Wagonjwa 30


Mbunge wa Lushoto Aibuka na Dawa ya Corona Atibu zaidi ya Wagonjwa 30
Mbunge wa Lushoto, Shabani Shekilindi amesema amegundua dawa inayotibu ugonjwa wa Corona.

Shekilindi amesema kwa sasa ameikabidhisha serikalini ili kupata uthibitisho wa maabara.

Mbunge huyu ameeleza kuwa hadi sasa ameshatibu zaidi ya wagonjwa 30 na wote wamepona

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad