Mtazamo: Watanzania Wengi Wataishi Maisha Mazuri SANA Muongo Mmoja ujao Kwasababu ya Misingi Anayoiweka Magufuli


Mimi kidogo nimesoma uchumi.Hivyo nitatoa short analysis ya kiuchumi.

Miaka kumi ijayo Tanzania itakuwa Kama afrika ya kusini au ureno.

Hebu fikiria yafuatayo.

Umeme mkubwa wa stiglaz gorge ambao utailuminate nchi yote na bado tukabakiwa na ziada.

Mradi wa REA ambao umeiluminate vijiji vingi Tanzania na kama ujuavyo palipo na umeme sio bushi Tena.

Imagine vituo vya afya vilivyozagaa mpaka maporini maana yake ni kwamba life expectancy ya watanzania itapanda pia.

Viwanda vikubwa vitajengwa kwasababu uhakika wa umeme upo 24/7/365 hivyo itachochea ajira nyingi Sana.

Sasa ona.

Una usafiri wa uhakika wa
Lami
Tren
Ndege

Una uhakika wa matibabu

Hospital
Vituo vya afya
Zahanati

Una nishati ya kutosha

Umeme
Gesi

Shule
Usalama
Nk

Hivi ndio vitu vitakavyotokea wafanya watanzania waishi maisha mazuri muongo mmoja ujao hii ni hakika.

Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

By Superbug
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad