Ni kitu Gani Huwa Unamficha Mpenzi Wako ili Muweze Kudumu Kwenye Mahusiano na Mpenzi Wako

Ukweli ni kwamba watu wengi sana wako kwenye mahusiano ama ndoa lakini wenza wao kuna vitu hawavijui na kubaki kuwa siri daima kuhusu wenza wao...

Mimi Binafsi huwa napenda kudanganya umri ili kuendana na mpenzi nisiwe mkubwa sana au mdogo sana

JE wewe huwa unadanganya nini?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad