Rais Magufuli leo tarehe 3,2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba



Rais wa Tanzania , Dkt. Magufuli leo tarehe 3 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa katiba na sheria, Wilayani Chato ,Mkoa wa Geita. Mwigulu aliteuliwa jana kushika wadhifa huo akichukuwa nafasi ya Balozi Agustine Mahiga ambaye amefariki dunia
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad