Rapa Tekashi Avujisha VIDEO za Snoop Dogg Akiwa na Mchepuko



Vita kati ya Rapa Tekashi  na mkongwe Snoop Dogg imefikia katika hatua mbaya , baada ya Tekashi kushare video ya snoop akiwa na mchepuko

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tekashi alishare video hiyo aliyoambatanisha na maneno- " Kipindi nipo jela watu walitumia nguvu kubwa sana kuhakikisha sitoki na hata nikitoka basi nisisikike tena . Leo nimetoka wananichokonoa na baada ya kurudisha majibu wanaomba yaishe, haya sasa snoop nenda kaombe radhi kwa mkeo "

Video hiyo ambayo hata ivyo baadae aliifuta , anaonekana Snoop akiwa katika chumba na msichana , na video nyingine anaonekana akiwa anaongea nae kwenye simu .

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad