Spika Ndugai "Wabunge Wanapimwa ila Hatutangazi"

 

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amesema kuwa Mbunge yeyote ambaye anahisi ana dalili za maambukizi ya Virusi vya Corona anafanyiwa vipimo, isipokuwa hawatangazi tu kwenye vyombo vya habari.

Spika Ndugai ameyabainisha hayo, wakati akifanya mazungumzo maalum na EATV&EA Radio Digital, na kuhojiwa kwamba je wanao mpango wa kuwafanyia vipimo Wabunge wote ili atakayebainika kupata maambukizi awekwe Karantini?, ambapo Spika alijibu.

"Kila Mbunge ambaye anajihisi vibaya anafanyiwa vipimo, tunachofanya hatutangazi tu" amesema Spika Ndugai.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad