TANZIA: Katibu Jumuiya ya Wazazi CCM Afariki



Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Lugano Mwafongo amefariki dunia leo Alhamisi, Mei 7, 2020 katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad