Tanzia: Mkuu wa wilaya ya Nyang'ahwele Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia





Waziri wa nchi ofisi ya rais -TAMISEMI,mheshimiwa Suleiman Jafo anasikitika kutangaza kifo cha Hamim Buzohera Gwiyama mkuu wa wilaya ya Nyang'ahwele kilichotokea leo mei 7, 2020 kilichotokea leo asubuhi katika hospitali ya Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad