Tekashi 6IX9INE Ametengeneza Zaidi ya Bilioni 2 Akiwa Kifungo cha Nyumbani....

TEKASHI 6IX9INE AMETENGENEZA ZAIDI YA BILIONI 2 ALIZOZIPATA AKITUMIKIA KIFUNGO CHA NYUMBANI
_
Rapper Tekashi *6ix9ine ameendelea kurusha madongo kwa wabaya wake akijitapa kuwa msanii wa moto zaidi kwasasa, Ameonesha zaidi ya Tsh. Billioni 2.3 alizozitengeneza kipindi ichi tu ambacho anatumikia kifungo cha nyumbani.
_
“Najua mlidhani nimeisha, Kuna ambao hadi mlikuwa mnaomba nisitoke jela lakini mmepoteza tu maombi, Jamaa ambaye nipo kifungoni nawezaje kutengeneza pesa zaidi yenu? Mmewahi kuona dola Millioni moja Taslimu? Nimezitengeneza hizi zote nikiwa natumikia kifungo cha nyumbani” Tekashi *6ix9ine amejitapa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad