Ukiona Mwanaume Ana Miaka 27 Bado Hajajitegemea Huyu ni Hasara

Sifa ya mwanaume kujituma, kutafuta pesa na kujipanga. Hivi unakuta kijana umri unaenda bado anategemea kwa wazazi msosi ni hotpot family huyu ni hasara.

Kuna mwanaume mpaka anaoa bado yupo kwa wazazi na mke anampeleka hapo hapo kwenye nyumba ya familia, ndiyo hapo ndoa inakua ngumu kwa mawifi na mashemeji na wazazi zinaanza chokochoko kibao. Wanaume wa hivi ni walaini sana, hadi kitandani ni walaini.

Wapo sana wanaume wa hivi ila kiukweli mwanamke anavutiwa na mwanaume mgumu yaani anayejua kuhangaika na kujitegemea. Hawa wanategemea hadi siku ya ndoa wapewe zawadi ya kiwanja, au nyumba na wazazi. Wanataka sofa, kitanda, vyombo vya ndani siku ya harusi.

Shosti ukiona mwanaume wa hivi shituka mapema ni mwanaume Hotpot Family....
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wakati mwingine shule nazo zinatuchelewesha....labda kama jitu halina ishu liko tu home, hapo nakubaliana.

    ReplyDelete
  2. nothin to fuck xome one else....itz thinkin abut guyz....xo calm down boy

    ReplyDelete
  3. siku hizi hadi wanalelewa na ni sababu kubwa sana kumekuwa na wimbi la mashoga apa jijini

    ReplyDelete
  4. wanaume hawajitumi wanataka kupewa kila kitu

    ReplyDelete
  5. dats true...,vijana wa saiv tunazingua sana tunaka kila kitu kuwa smart phone

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad