Viongonzi wa TFF Wanahojiwa na Takukuru kwa Matumizi Mabaya ya Fedha zikiwemo za Rais Magufuli



Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuna fedha zimetumika vibaya.

Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo, amesema kuna fedha zimetumika vibaya zikiwemo zilizotolewa na Rais John Magufuli

Amesema baadhi ya watuhumiwa wameitwa na kuhojiwa na nyaraka mbalimbali zimechukuliwa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad