Wagonjwa Wa Corona Kenya Wafika 887 Baada ya Wengine 57 Kuongezeka


Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

Wagonjwa hao ni wanawake 23 na wanaume 34 wote wakiwa kati ya umri wa miaka miwili na 61.

Katika taarifa iliotolewa na wizara ya Afya siku ya Jumapili, Msemaji wa serikali Cyrus Oguna alisema kwamba kati ya wagonjwa hao wapya mjini Mombasa , Nairobi 17 , kajiado 3 huku Kwale na Kitui zikitangaza wagonjwa mmoja mmoja mtawalia.

 Idadi ya vifo ni 50 na waliopona wamefikia 313

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad