Web

Nabii Shillah ageukia biashara ya nguo ‘Nina mwaka sijafungua kanisa’ (Video)

Top Post Ad


Nabii Shillah wa Kanisa la BETHEL CHURCH amefunguka kuzungumzia sababu ya kufungua biashara ya nguo wakati yeye ni mtumishi wa Mungu na kuna watu anawaongoza kiroho. Mtumishi huyo amedai mpaka ana mwaka mmoja hajaenda kanisani huku akidai yeye haongozwi na kondoo wake bali anaongozwa na Mwenyezi Mungu.

VIDEO:

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.