Web

Nabii Shillah Aonywa Kisa Skendo Chafu – Ni Yeye Shillah Kwenye Video ya Ngono (Video)

Top Post Ad



Msemaji wa Manabii na Mitume, @dr.richard_godwin Richard Godwin amefunguka mambo mengi hukusu tabia za mitume na manabii wa sasa kutokana na kufanya matukio ambayo yanatia aibu.


Amesema hayo Jumamosi hii jijini Dar Es Salaam wakati wa kikao cha Mitume na Manabii kuandaa sheria ambazo zitawaongoza katika kazi zao.

Mgeni rasmi wa kikao hicho alikuwa Mzee wa Upako ambapo aliwataka manabii na mitume kuacha kufanya mambo ya ovyo ambayo yanawachafua viongozi wa dini.

VIDEO:

Below Post Ad

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Manabii na Mitume..!!!
    Na sasa Kuna msemaji WA Nabii sijui kwa Mitume..!!

    Mbona mnaingia kufuru na kuhariblugha yetu fasihi ya Kiswahili kwa Njaa zenu na upotoshi. Jirudini WENYE Njaa na Media msiwe mnaandika Upumbavu na Upotoshaji WA kiwango hi hi. Tafadhalini mjiongeze hata kufikia Diploma Tafadhalini.

    ReplyDelete