Uchaguzi 2020 Nitamchagua Magufuli Tena Kwani Ametujengea Uthubutu



Ukiacha mafanikio mengi tunayoweza kuyaelezea ya Mheshimiewa Rais Magufuli nimewiwa kuelezea moja ya mafanikio makubwa ambayo yatabaki kwenye mioyo ya Watanzania.

Fanikio hilo muhimu ni ari ya kipekee aliyotujengea Mheshimiwa Rais.
yaani sisi sio wanyonge na kamwe hatutakiwi kuwa wanyonge.

Mh.Rais katika kipindi chake ametuonesha kuwa Watanzania tunao uwezo mkubwa na tunapaswa kiutumia kuijenga Tanzania.

Tunao uwezo
1-kutumia akili zetu ipasavyo

2-Tuna uwezo wa kudhibiti rushwa

3-Tuna uwezo wa ujasilia mali

4-Tuna uwezo wa kuanzisha biashara na kishindana kibiashara

5-Tuna uwezo kuanzisha biashara

6-Tuna uwezo wa kubuni na kusimamia miradi

7-Tuna uwezo wa kufanya kazi au biashara masaa 24

8-Tuna uwezo wa kuilinda nchi dhidi ya mabeberu

9-Tuna uwezo wa kukabiliana na majanga.

10-Tuna uwezo wa kujadiliana na dunia.

HEBU ENDELEA KUWEKA UWEZO WA WATANZANIA KAMA STATE...
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad