Web

Baba Levo "Nina Watoto wa Sita, Watatu Niliwakataa"


Kupitia mahojiano na kipindi Cha SalamaNaBabaLevo epsode iliyo ruka Leo msanii na Diwani anaye zichukua Trending kutokana na Kauli zake za Kuchesha @officialbabalevo Ameweka wazi kuwa na watoto 6 huku watoto wa 3 Kati yao akiwakataa

“Mimi nina watoto sita lakini watatu nimewakataa kwa kuwa mama zao sina uaminifu nao wanaweza wakawa wamenibambikizia. Watoto wangu wanaakili sana hata hao niliowakataa wanaakili pia.”- Baba Levo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad