Aliyeibuka mshindi kwenye kura hizo ni mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Dk. John Pallagyo aliyepata kura 536 akifuatiliwa Dan Pallagyo kura 63.
Dk. John Pallagyo Amgalagaza Joshua Nassari Kura Za Maoni CCM Jimbo La Arumeru Mashariki
0
July 20, 2020
Tags