Jenerali Aliepanga njama za Mugabe Kuondolewa Madarakani Afariki


Waziri wa kilimo wa Zimbabwe Perrance Shiri, amefariki Dunia asubuhi ya leo akiwa hospitali anapatiwa matibabu, Rais Emmerson Mnangagwa amethibitisha leo asubuhi.

“Shiri alikuwa mzalendo wa kweli, aliyejitolea maisha yake kwa ukombozi, uhuru na huduma ya nchi yake,” ameongea Rais wa Zimbabwe Mnangagwa katika taarifa yake japo hakusema chanzo cha kifo.

Shiri alikuwa Jenerali mstaafu ambaye alisaidia kupanga njama ya kufukuzwa kwa Robert Mugabe katika mapinduzi ya 2017.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad