Web

Mkurugenzi wa Mawasiliano CHADEMA Atangaza Nia Kugombea Ubunge

“Nimetangaza Nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu kama Chama changu Cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema kitanipa fursa hiyo.Naomba ushirikiano kwa wananchi wa Jimbo hili.”- Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mambo ya nje wa @ChademaTz JOHN MREMA

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mrema, Umechelewa mwanangu.
    Saccozi ina matatizo kibao. na muda si mrefu watafunga ofisi hizi za Gumashi.

    ushauri wangu hamia Tadea, Ajira ipo
    au nenda NSSR.

    ReplyDelete

Top Post Ad