Picha aliyopost Makonda yaleta neema kwa mlemavu huyu



Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam @baba_keagan Ijumaa hii ambayo waumini wa dini ya kiislamu duniani kote wanasherekea Eid, alipost picha mtandaoni akifanya mazungumzo na mlemavu mmoja ambaye hakutambulika jina lake mara moja.




Picha hizo ilizalisha mijadala mingi, ila mmoja kati ya watu ambao mtandaoni anatumia jina la S Zakwani aliandika ujumbe wa kutaka kumsaidia mlemavu huyo baiskeli mpya.


“Mheshimiwa nijulishe huyu mtu yupo wapi nimsaidie baiskeli mpya” aliandika kijana huyo ambaye hakuweka wazi anapatikana wapi.




Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad