John Robert Lewis, shujaa wa kupigania haki za kiraia kwa ajili ya Wamarekani Weusi na Mwakilishi wa muda mrefu katika Baraza la Wawakilishi Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 80.
Shujaa wa kupigania haki za kiraia Marekani John Lewis afariki
0
July 18, 2020
Tags